Loading...

Faini ya FA ni fedheha asema Mourinho

[1.5MB] download video ya LULU akiwa bafuni anaoga ==>

Faini ya FA ni fedheha asema Mourinho

  • 16 Oktoba 2015
 
Image copyright PA
Image caption Kocha wa Chelsea,Jose Mourinho
Meneja wa Chelsea Jose Mourinho amesema faini ya pauni 50,000 aliyotozwa na chama cha soka cha England (FA) ni fedheha.
Mourinho amepewa adhabu hiyo ya faini pamoja na marufuku ya mechi moja, ambayo haitatekelezwa kwa sasa, baada ya kupatikana na hatia ya utovu wa nidhamu kufuatia kauli yake kuhusu refa Robert Madley mara baada ya Chelsea kufungwa 3-1 na Southampton.
Mourinho ameeleza kuwa kutozwa faini hiyo na kufungiwa mechi moja ni kitu cha kushangaza.
Mourinho pia alimchimba Meneja wa Arsenal Arsene Wenger bila kumtaja jina alipogusia kuwa Wenger, "alisema nini mara baada ya kuchapwa 2-0 na Chelsea Mwezi uliopita?".
Wenger alidai refa wa mchezo ule Mike Dean, alikuwa ‘dhaifu’ na ‘asiyefahamu’ soka.
Mbali na hilo, Wenger pia hakuadhibiwa na FA Oktoba 2014 wakati alipomsukuma Mourinho, aliyekuwa eneo lake la ufundi, Chelsea ilipopambana na Arsenal.
PICHA CHAFU ZA WANAFUNZI WAKIFANYA UCHAFU ZAVUJA FACEBOOK SEE PHOTOS BELOW => KAMA HUJAONAILE VIDEO CHAFU YA ZARI THE BOSS LADY ILIYOVUJA BOFYA HAPO CHINI=>

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright shezzy taifa kubwa | Designed By Hisia za Mwananchi
Back To Top