
Siyo jambo la kushangaza kuona vinara wa vyama viwili CHADEMA na CCM wagombea wao wao
wakimbilia mstuni. Kama ni mfuatilija wa siasa za Tanzania ili siyo jambo la Ajabu Sana kwani hata
chama/vyama fulani vilikimbilia mitini wakati wa HARAKATI MAJIMBONI 2010. Watanzania
tujifunze kwamba wanasiasa wetu siyo wakweli. Wengine walipromise tena kwa kujigamba
majukwaani wakiahidi kwa kujigamba wagombea wao wako tayari kwa midaharo. Makada hawa pia
walionekana katika Runinga na Vyombo Vingine vya habari wakipiga propaganda hizi, tena kwa
madaha na majigambo. Kweli waswahili usema maneno matupu hayavunji mfupa, na palipo na
ukweliuongo hujitenga hili limejitokeza tena. Kwa kumbukumbu zangu za mwaka 2010 ziliwafanya
watu fulani fulani ajira zao kukoma. Je huo ndio uzalendo na uadlifu na
uchapakazi,............................ UTAJAZA MWENYEW!!!!!!
PICHA CHAFU ZA WANAFUNZI WAKIFANYA UCHAFU ZAVUJA FACEBOOK SEE PHOTOS BELOW =>
KAMA HUJAONAILE VIDEO CHAFU YA ZARI THE BOSS LADY ILIYOVUJA BOFYA HAPO CHINI=>

Post a Comment